
Friday, July 13, 2012
HOW TO PREPARE YOUR CV
NI fedheha kako na ajabu kwa wasaili wanapogundua kumbe hata CV uliyoiandika haiendani na unachokijua kwa kua umesahau ulichoandika ama kilichoandikwa kimekokotezwa sana kiasi hata we mwenyewe inakuchanganya. Fuata hatua kwenye kitabu hichi ujue hasa nini cha kuandika na nini cha kuacha na njia rahisi ya kuonekana umejitayarisha.

Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Powered by Blogger.
0 comments:
Post a Comment