KWA wanaofanya usaili kwa mara ya kwanza ama wale waliokwisha fanya na wanajua kukosa kwao kwa kazi fulani ilikua ni sababu ya kujibu vibaya ama kutokujua cha kujibu kwenye usaili. hichi kitabu kitakuelekeza kama usiyejua chochote na kadri ya unavyoperuzi utagundua makosa uliyokua ukiyafanya na kitakuelekeza pia jinsi ya kuepuka makosa kwenye usaili wako ujao. Download Bure na kama kitakusaidia basi toa comments zako ili kiwape mwanga wengine wenye kukuhitaji.

0 comments:
Post a Comment